Kumbukumbu la Torati 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Kwa maana ikiwa mtaishika kabisa amri yote hii+ ninayowaamuru ninyi ili kuifanya, kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake+ na kushikamana naye,+ Kumbukumbu la Torati 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
22 “Kwa maana ikiwa mtaishika kabisa amri yote hii+ ninayowaamuru ninyi ili kuifanya, kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake+ na kushikamana naye,+
32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+