2 Samweli 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakati Daudi aliposikia habari hizo baadaye, mara moja akasema: “Kwa maoni ya Yehova, mimi na ufalme wangu hatuna hatia ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri mpaka wakati usio na kipimo. Zaburi 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova Mungu wangu, ikiwa nimefanya hili,+Ikiwa kuna ukosefu wowote wa haki katika mikono yangu,+
28 Wakati Daudi aliposikia habari hizo baadaye, mara moja akasema: “Kwa maoni ya Yehova, mimi na ufalme wangu hatuna hatia ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri mpaka wakati usio na kipimo.
3 Ee Yehova Mungu wangu, ikiwa nimefanya hili,+Ikiwa kuna ukosefu wowote wa haki katika mikono yangu,+