Mwanzo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende shambani.” Basi ikawa kwamba walipokuwa shambani Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+ Hesabu 35:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na ikiwa alikuwa akimsukuma+ kwa sababu ya chuki au ikiwa amemvizia+ na kumtupia kitu ili afe, Yakobo 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye aliyesema: “Usifanye uzinzi,”+ alisema pia: “Usiue.”+ Basi, ikiwa hufanyi uzinzi lakini unaua, umekosa juu ya sheria.
8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende shambani.” Basi ikawa kwamba walipokuwa shambani Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+
11 Kwa maana yeye aliyesema: “Usifanye uzinzi,”+ alisema pia: “Usiue.”+ Basi, ikiwa hufanyi uzinzi lakini unaua, umekosa juu ya sheria.