Kumbukumbu la Torati 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nanyi muwe waangalifu ili kutimiza masharti yote na maamuzi ya hukumu+ ninayoweka mbele yenu leo.+ Kumbukumbu la Torati 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Leo Yehova Mungu wako anakuamuru utimize haya masharti na maamuzi ya hukumu;+ nawe utazishika na kuzitimiza kwa moyo+ wako wote na nafsi yako yote.+ Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+
32 Nanyi muwe waangalifu ili kutimiza masharti yote na maamuzi ya hukumu+ ninayoweka mbele yenu leo.+
16 “Leo Yehova Mungu wako anakuamuru utimize haya masharti na maamuzi ya hukumu;+ nawe utazishika na kuzitimiza kwa moyo+ wako wote na nafsi yako yote.+
28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+