31 kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa amewaamuru wana wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria+ ya Musa: “Madhabahu ya mawe mazima, ambayo chombo cha chuma hakikutumiwa juu yake”;+ nao wakatoa juu yake matoleo ya kuteketezwa kwa Yehova na kutoa dhabihu za ushirika.+