Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akaandika sheria hii+ na kuwapa makuhani wana wa Lawi,+ wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kuwapa wanaume wote wazee wa Israeli.

  • Yoshua 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kitabu hiki cha sheria kisiondoke katika kinywa chako,+ nawe ukisome kwa sauti ya chini mchana na usiku, upate kuangalia kufanya kulingana na yote ambayo yameandikwa ndani yake;+ kwa maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha utatenda kwa hekima.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa walipokuwa wakitoa pesa+ zilizokuwa zinaletwa katika nyumba ya Yehova, Hilkia+ kuhani akakipata kile kitabu+ cha sheria ya Yehova+ kupitia mkono wa Musa.+

  • Danieli 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+

  • Malaki 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ikumbukeni sheria ya Musa mtumishi wangu niliyomwamuru katika Horebu kuhusu Israeli wote, hata masharti na maamuzi ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki