5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
18 Naye Yehova, amekufanya useme leo kwamba utakuwa kikundi cha watu wake, mali ya pekee,+ kama vile alivyokuahidi,+ na kwamba utashika amri zake zote,