Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini huonyesha fadhili zenye upendo kuelekea kizazi cha elfu kwa wale wanaonipenda na kuzishika amri zangu.+

  • Yeremia 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+

  • Danieli 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+

      “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+

  • Waroma 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ni kweli, kuhusiana na habari njema wao ni adui kwa ajili yenu,+ lakini kuhusiana na kuchagua kwa Mungu wao ni wapendwa kwa ajili ya mababu zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki