Kumbukumbu la Torati 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.” Zaburi 91:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitamshibisha kwa wingi wa siku,+Nami nitamfanya aone wokovu wangu.+ Methali 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu utaongezewa+ urefu wa siku na miaka ya uzima+ na amani. Methali 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kumwogopa Yehova kutaongeza siku,+ lakini miaka ya waovu itafupishwa.+
40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”