Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”

  • Zaburi 91:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nitamshibisha kwa wingi wa siku,+

      Nami nitamfanya aone wokovu wangu.+

  • Methali 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu utaongezewa+ urefu wa siku na miaka ya uzima+ na amani.

  • Methali 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kumwogopa Yehova kutaongeza siku,+ lakini miaka ya waovu itafupishwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki