Yoshua 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi wakaja mbele ya Eleazari+ kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na wakuu, wakisema: “Yehova ndiye aliyemwamuru Musa atupe sisi urithi katikati ya ndugu zetu.”+ Basi akawapa urithi katikati ya ndugu za baba yao kwa agizo la Yehova.+
4 Basi wakaja mbele ya Eleazari+ kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na wakuu, wakisema: “Yehova ndiye aliyemwamuru Musa atupe sisi urithi katikati ya ndugu zetu.”+ Basi akawapa urithi katikati ya ndugu za baba yao kwa agizo la Yehova.+