Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikiwa baba yake hana ndugu, mtampa urithi wake mtu wa familia yake aliye wa karibu zaidi na mwenye uhusiano wa damu,+ naye atauchukua. Nayo itatumika kama sheria kulingana na uamuzi wa hukumu kwa ajili ya wana wa Israeli, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.’”

  • Hesabu 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+

  • Hesabu 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hili ndilo neno ambalo Yehova ameamuru kwa ajili ya binti za Selofehadi,+ na kusema, ‘Kwa yeyote atakayekuwa mwema machoni pao wanaweza kuwa wake zake. Ila tu wanapaswa kuwa wake katika familia ya kabila la baba zao.+

  • Hesabu 36:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakawa wake za baadhi ya familia za wana wa Manase mwana wa Yosefu, ili urithi wao uendelee kuwa pamoja na kabila la familia ya baba yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki