Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na alazimike kuuza sehemu ya miliki yake, mkombozi wa jamaa yake ya karibu atakuja pia na kununua na kurudisha kile ambacho ndugu yake aliuza.+

  • Mambo ya Walawi 25:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Au ndugu ya baba yake au mwana wa ndugu ya baba yake anaweza kumnunua, au mtu wa jamaa yake ya kimwili mwenye uhusiano wa damu,+ mtu wa familia yake, anaweza kumnunua tena.

      “‘Au ikiwa mkono wake mwenyewe umepata mali, basi mwenyewe atajinunua.+

  • Ruthu 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo akamwambia mkombozi+ huyo: “Naomi aliyerudi kutoka katika uwanda wa Moabu+ atauza ile sehemu ya shamba lililokuwa la ndugu yetu Elimeleki.+

  • Yeremia 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya muda Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu akaingia kwangu, kulingana na lile neno la Yehova, ndani ya Ua wa Walinzi,+ naye akaniambia: “Tafadhali, nunua shamba langu lililoko Anathothi,+ lililo katika nchi ya Benyamini,+ kwa maana haki ya fungu la urithi ni yako, na mamlaka ya kukomboa ni yako. Linunue liwe lako.” Ndipo nikajua kwamba hilo lilikuwa neno la Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki