1Basi ikawa katika siku ambazo waamuzi+ walitekeleza haki, njaa+ ikatokea nchini, na mwanamume mmoja akatoka Bethlehemu+ katika Yuda, akakae akiwa mgeni katika nchi ya Moabu,+ yeye na mke wake na wanawe wawili.
6 Naye akaondoka na binti-wakwe zake, na kurudi kutoka katika nyanda za Moabu, kwa maana alikuwa amesikia katika uwanda wa Moabu kwamba Yehova alikuwa ameelekeza fikira zake kwa watu wake+ na kuwapa mkate.+