17Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.
70 na kutoka katika nusu ya kabila la Manase, Aneri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Bileamu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, kwa familia ya wana wa Kohathi waliobaki.+