Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+ Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+ Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+ Hesabu 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.
23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+
25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+ Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+
4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.