7 Kwa ajili ya wana wa Merari+ kulingana na familia zao kulikuwa na majiji kumi na mawili kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni.+
77 Na kwa wana wa Merari waliobaki kutoka katika kabila la Zabuloni+ wakawapa Rimono+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, Tabori pamoja na viwanja vyake vya malisho,