Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Yuda ndio ulioondoka kwanza kabisa, kwa majeshi yao,+ naye Nashoni+ mwana wa Aminadabu alikuwa juu ya jeshi la mgawanyo huo.

  • Hesabu 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Rubeni+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elisuri+ mwana wa Shedeuri alikuwa juu ya jeshi lake.

  • Hesabu 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Efraimu+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elishama+ mwana wa Amihudi alikuwa juu ya jeshi lake.

  • Yoshua 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wake zenu, watoto wenu wadogo na mifugo yenu, watakaa katika nchi ambayo Musa amewapa ninyi ng’ambo hii ya Yordani;+ lakini ninyi wanaume mtavuka mkiwa mmejipanga kivita+ mbele ya ndugu zenu, wanaume wote ambao ni mashujaa wenye nguvu,+ nanyi mtawasaidia.

  • Yoshua 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Karibu watu 40,000 waliotayarishwa kijeshi wakavuka mbele za Yehova kwa ajili ya vita kwenda katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki