Mwanzo 38:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na baadaye ndugu yake ambaye mkono wake ulifungwa kitambaa chekundu akatoka naye jina lake akaitwa Zera.+ Hesabu 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wana wa Yuda wakawa, kulingana na familia zao: Wa Shela+ familia ya Washela; wa Perezi+ familia ya Waperezi; wa Zera+ familia ya Wazera. 1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Tamari+ binti-mkwe wake ndiye aliyemzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wa Yuda walikuwa watano.
30 Na baadaye ndugu yake ambaye mkono wake ulifungwa kitambaa chekundu akatoka naye jina lake akaitwa Zera.+
20 Nao wana wa Yuda wakawa, kulingana na familia zao: Wa Shela+ familia ya Washela; wa Perezi+ familia ya Waperezi; wa Zera+ familia ya Wazera.