Kumbukumbu la Torati 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nanyi msiongeze kwenye neno ninalowaamuru ninyi, wala msiondoe lolote kutoka katika hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi. Kumbukumbu la Torati 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+
2 Nanyi msiongeze kwenye neno ninalowaamuru ninyi, wala msiondoe lolote kutoka katika hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.
32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+