Mwanzo 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia. Hesabu 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.
2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia.
22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.