9 Papo hapo Yosefu akakumbuka ndoto alizokuwa ameota juu yao,+ naye akaendelea kuwaambia: “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja kuona hali ya ukosefu wa ulinzi wa nchi hii!”+
3 Hata hivyo, wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao: “Je, Daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji? Je, Daudi hakuwatuma watumishi wake kwako ili kulichunguza jiji na kulipeleleza+ na kulipindua?”+