28 Ndipo akawaambia: “Nifuateni,+ kwa maana Yehova amewatia adui zenu, Wamoabu, mkononi mwenu.”+ Nao wakamfuata, wakateka vivuko+ vya Yordani juu ya Wamoabu, wala hawakumruhusu mtu yeyote avuke.
5 Nao Gileadi wakateka vivuko vya Yordani+ mbele ya Efraimu; ndipo ikatukia kwamba wakati watu wa Efraimu waliokuwa wakikimbia waliposema: “Niache nivuke,” ndipo watu wa Gileadi wakawa wakimwambia kila mmoja wao: “Je, wewe ni Mwefraimu?” Akisema: “Hapana!”