Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ndipo akawaambia: “Nifuateni,+ kwa maana Yehova amewatia adui zenu, Wamoabu, mkononi mwenu.”+ Nao wakamfuata, wakateka vivuko+ vya Yordani juu ya Wamoabu, wala hawakumruhusu mtu yeyote avuke.

  • Waamuzi 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Gileadi wakateka vivuko vya Yordani+ mbele ya Efraimu; ndipo ikatukia kwamba wakati watu wa Efraimu waliokuwa wakikimbia waliposema: “Niache nivuke,” ndipo watu wa Gileadi wakawa wakimwambia kila mmoja wao: “Je, wewe ni Mwefraimu?” Akisema: “Hapana!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki