44 Ndipo Waamori waliokuwa wakikaa katika mlima huo wakatoka ili kukutana nanyi nao wakawafuatilia ninyi,+ kama vile nyuki wanavyofanya, na kuwatawanya ninyi huko Seiri mpaka Horma.+
17 Lakini Yuda akasonga mbele akiwa na Simeoni ndugu yake, nao wakawapiga Wakanaani waliokaa Sefathi na kuliharibu+ jiji. Basi jina la jiji hilo likaitwa Horma.+