Yoshua 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na Siklagi+ na Beth-markabothi na Hasar-susa,+ 1 Samweli 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Akishi akampa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu Siklagi limekuwa la wafalme wa Yuda mpaka leo hii. 1 Mambo ya Nyakati 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,
6 Basi Akishi akampa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu Siklagi limekuwa la wafalme wa Yuda mpaka leo hii.
12 Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,