Yoshua 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na Siklagi+ na Madmana na Sansana, 1 Samweli 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Akishi akampa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu Siklagi limekuwa la wafalme wa Yuda mpaka leo hii. 1 Samweli 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na ikawa kwamba, wakati Daudi na watu wake walipokuwa wakija Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ wakavamia upande wa kusini na pia Siklagi; wakapiga Siklagi, wakaliteketeza kwa moto, 1 Mambo ya Nyakati 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 na katika Bethueli+ na katika Horma+ na katika Siklagi+
6 Basi Akishi akampa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu Siklagi limekuwa la wafalme wa Yuda mpaka leo hii.
30 Na ikawa kwamba, wakati Daudi na watu wake walipokuwa wakija Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ wakavamia upande wa kusini na pia Siklagi; wakapiga Siklagi, wakaliteketeza kwa moto,