30Na ikawa kwamba, wakati Daudi na watu wake walipokuwa wakija Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ wakavamia upande wa kusini na pia Siklagi; wakapiga Siklagi, wakaliteketeza kwa moto,
1Na ikawa baada ya kifo cha Sauli, na wakati Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwapiga Waamaleki,+ kwamba Daudi akaendelea kukaa siku mbili katika Siklagi.+
12Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,
20 Alipokuja Siklagi,+ Adna na Yozabadi na Yediaeli na Mikaeli na Yozabadi na Elihu na Zilethai, vichwa+ vya maelfu wa Manase walitoroka kutoka kwa Manase na kumwendea.