Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na Siklagi+ na Beth-markabothi na Hasar-susa,+

  • 1 Samweli 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ikawa kwamba, wakati Daudi na watu wake walipokuwa wakija Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ wakavamia upande wa kusini na pia Siklagi; wakapiga Siklagi, wakaliteketeza kwa moto,

  • 2 Samweli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na ikawa baada ya kifo cha Sauli, na wakati Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwapiga Waamaleki,+ kwamba Daudi akaendelea kukaa siku mbili katika Siklagi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 na katika Bethueli+ na katika Horma+ na katika Siklagi+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alipokuja Siklagi,+ Adna na Yozabadi na Yediaeli na Mikaeli na Yozabadi na Elihu na Zilethai, vichwa+ vya maelfu wa Manase walitoroka kutoka kwa Manase na kumwendea.

  • Nehemia 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na katika Siklagi+ na katika Mekona na miji yake ya kandokando

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki