3 nayo ikashuka kwenda magharibi hadi kwenye mpaka wa Wayafleti hadi kwenye mpaka wa Beth-horoni+ ya Chini na Gezeri,+ na mwisho wake ukawa kwenye bahari.+
8 Kutoka Tapua+ mpaka huo ukaendelea upande wa magharibi hadi kwenye bonde la mto la Kana,+ na mwisho wake ukawa kwenye bahari.+ Huo ndio urithi wa kabila la wana wa Efraimu kulingana na familia zao.