55 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtawafukuzia mbali wakaaji wa nchi hiyo kutoka mbele yenu,+ basi wale mtakaoacha watakuwa kama michomo katika macho yenu na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika nchi ambamo mtakuwa mkikaa.+
9 Nao wakasema: “Simameni, nasi tupande juu yao; kwa maana tumeiona nchi, na tazama! ni nzuri sana.+ Nanyi mnasitasita. Msiwe goigoi kuhusu kwenda kuingia kuimiliki nchi ile.+