30 Ndipo Kalebu+ akajaribu kuwatuliza watu mbele ya Musa naye akasema: “Na tupande moja kwa moja, nasi tutaimiliki, kwa sababu kwa hakika tunaweza kuishinda.”+
3 Kwa hiyo Yoshua akawaambia wana wa Israeli: “Mtakuwa wazembe mpaka wakati gani, msiingie kuimiliki nchi+ ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu amewapa ninyi?+