Hesabu 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nao wakaliambia kusanyiko lote la wana wa Israeli hivi: “Nchi tuliyoipitia ili kuipeleleza ni nchi nzuri sana, sana.+ Kumbukumbu la Torati 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,
7 nao wakaliambia kusanyiko lote la wana wa Israeli hivi: “Nchi tuliyoipitia ili kuipeleleza ni nchi nzuri sana, sana.+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,