25 Nao wakachukua sehemu ya matunda ya nchi+ hiyo mkononi mwao na kutuletea, nao wakaja na kutuletea neno na kusema, ‘Nchi ambayo Yehova Mungu wetu anatupa sisi ni nzuri.’+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,
14 mimi pia nitatoa mvua kwa ajili ya nchi yenu katika wakati wake uliowekwa,+ mvua ya vuli na mvua ya masika,+ nawe kwa kweli utakusanya nafaka yako na divai yako tamu na mafuta yako.