Kutoka 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+ Hesabu 35:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Haya ndiyo majiji mtakayowapa Walawi: majiji 6 ya makimbilio,+ ambayo mtatoa ili muuaji akimbilie humo,+ na mbali na hayo mtatoa majiji mengine 42. Hesabu 35:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtatoa majiji matatu upande huu wa Yordani,+ na majiji matatu mtatoa katika nchi ya Kanaani.+ Yatatumika yakiwa majiji ya makimbilio. Kumbukumbu la Torati 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wakati huo Musa akatenga majiji matatu upande wa Yordani kuelekea mashariki,+
13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+
6 “Haya ndiyo majiji mtakayowapa Walawi: majiji 6 ya makimbilio,+ ambayo mtatoa ili muuaji akimbilie humo,+ na mbali na hayo mtatoa majiji mengine 42.
14 Mtatoa majiji matatu upande huu wa Yordani,+ na majiji matatu mtatoa katika nchi ya Kanaani.+ Yatatumika yakiwa majiji ya makimbilio.