Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nayo majiji mtakayotoa, yale majiji sita ya makimbilio, yatakuwa kwa ajili yenu.

  • Yoshua 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na wana wa Israeli, uwaambie, ‘Mjipe wenyewe majiji ya makimbilio+ ambayo niliwaambia habari zake kupitia Musa,

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Yoshua 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika eneo la Yordani, kule Yeriko, upande wa mashariki wakatoa Beseri+ nyikani kwenye nchi tambarare ya juu kutoka katika kabila la Rubeni,+ na Ramothi+ katika Gileadi kutoka katika kabila la Gadi, na Golani+ katika Bashani kutoka katika kabila la Manase.

  • Yoshua 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao waliwapa wana wa Haruni kuhani jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, Hebroni,+ na kiwanja chake cha malisho, pia Libna+ na kiwanja chake cha malisho,

  • Yoshua 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakawapa jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu,+ na kiwanja chake cha malisho+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ na kiwanja chake cha malisho,

  • Yoshua 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na kwa ajili ya wana wa Gershoni,+ wa familia za Walawi, kulikuwa kutoka katika nusu ya kabila la Manase+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Golani,+ katika Bashani, na kiwanja chake cha malisho, na Beeshtera+ na kiwanja chake cha malisho; majiji mawili.

  • Yoshua 21:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na kutoka katika kabila la Naftali,+ jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Kedeshi+ katika Galilaya, na kiwanja chake cha malisho, na Hamoth-dori+ na kiwanja chake cha malisho, na Kartani na kiwanja chake cha malisho; majiji matatu.

  • Yoshua 21:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na kutoka katika kabila la Rubeni,+ Beseri+ na kiwanja chake cha malisho, na Yahazi+ na kiwanja chake cha malisho,

  • Yoshua 21:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na kutoka katika kabila la Gadi,+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi katika Gileadi,+ na kiwanja chake cha malisho, na Mahanaimu+ na kiwanja chake cha malisho,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki