15 Majiji hayo sita yatatumika yakiwa kimbilio kwa wana wa Israeli na kwa mkaaji mgeni+ na kwa mhamiaji aliye kati yao, ili mtu yeyote ambaye ataipiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo.+
57 Nao wakawapa wana wa Haruni majiji ya makimbilio,+ Hebroni,+ pamoja na Libna+ na viwanja vyake vya malisho na Yatiri+ na Eshtemoa+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,