Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Majiji hayo sita yatatumika yakiwa kimbilio kwa wana wa Israeli na kwa mkaaji mgeni+ na kwa mhamiaji aliye kati yao, ili mtu yeyote ambaye ataipiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo.+

  • Yoshua 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ili muuaji+ anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia, bila kujua, akimbilie humo; nayo yatakuwa kwenu makimbilio kutoka kwa mlipiza-kisasi cha damu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nao wakawapa wana wa Haruni majiji ya makimbilio,+ Hebroni,+ pamoja na Libna+ na viwanja vyake vya malisho na Yatiri+ na Eshtemoa+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki