14 mtatafuta na kupeleleza na kuuliza habari kabisa;+ na ikiwa jambo hili limethibitika kuwa kweli, jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katikati yako,
16 “Kusanyiko lote la Yehova+ limesema hivi, ‘Mmefanya tendo gani hili la kukosa uaminifu+ juu ya Mungu wa Israeli kwa kugeuka+ nyuma msimfuate Yehova leo, mkajijengea madhabahu,+ ili kumwasi Yehova leo?