Waamuzi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini bwana wake akamwambia: “Tusigeuke kando kuingia katika jiji la wageni+ ambao si sehemu ya wana wa Israeli; basi tuvuke mpaka Gibea.”+ Hosea 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Umetenda dhambi+ kuanzia siku za Gibea,+ Ee Israeli. Huko walisimama tuli. Vita juu ya wana wenye kukosa uadilifu katika Gibea havikupata kuwafikia.+
12 Lakini bwana wake akamwambia: “Tusigeuke kando kuingia katika jiji la wageni+ ambao si sehemu ya wana wa Israeli; basi tuvuke mpaka Gibea.”+
9 “Umetenda dhambi+ kuanzia siku za Gibea,+ Ee Israeli. Huko walisimama tuli. Vita juu ya wana wenye kukosa uadilifu katika Gibea havikupata kuwafikia.+