Mambo ya Walawi 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ikiwa mtu yeyote atafanya lolote la mambo yote hayo yenye kuchukiza, basi nafsi zinazoyafanya zitakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.+ Waamuzi 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi wana wa Benyamini wakakusanywa siku hiyo kutoka katika majiji, watu 26,000 wenye kutumia upanga,+ mbali na wakaaji wa Gibea, ambao watu 700 waliochaguliwa walikusanywa. Waamuzi 20:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na wote wa Benyamini walioanguka siku hiyo wakajumlika mwishowe kuwa watu 25,000 wenye kutumia upanga,+ wote hao wakiwa wanaume mashujaa.
29 Ikiwa mtu yeyote atafanya lolote la mambo yote hayo yenye kuchukiza, basi nafsi zinazoyafanya zitakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.+
15 Basi wana wa Benyamini wakakusanywa siku hiyo kutoka katika majiji, watu 26,000 wenye kutumia upanga,+ mbali na wakaaji wa Gibea, ambao watu 700 waliochaguliwa walikusanywa.
46 Na wote wa Benyamini walioanguka siku hiyo wakajumlika mwishowe kuwa watu 25,000 wenye kutumia upanga,+ wote hao wakiwa wanaume mashujaa.