15 Basi wana wa Benyamini wakakusanywa siku hiyo kutoka katika majiji, watu 26,000 wenye kutumia upanga,+ mbali na wakaaji wa Gibea, ambao watu 700 waliochaguliwa walikusanywa.
35 Naye Yehova akashinda Benyamini+ mbele ya Israeli, hivi kwamba wana wa Israeli siku hiyo wakaangamiza katika Benyamini watu 25,100, wote hao wenye kutumia upanga.+