Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Hao ndio waliokuwa wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, nao walioandikishwa kati yao walikuwa 45,600.+

  • Waamuzi 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika pamoja kutoka katika majiji kwenda Gibea ili watoke kupigana na wana wa Israeli.

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa amesimama mbele ya sanduku hilo siku hizo,+ akisema: “Je, niende tena kupigana na wana wa Benyamini ndugu yangu, au je, nisiende?”+ Na Yehova akasema: “Panda, kwa kuwa kesho nitamtia mkononi mwako.”+

  • Waamuzi 20:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Nao watu wa Israeli wakarudi tena kupigana na wana wa Benyamini, wakaendelea kuwapiga kwa makali ya upanga wale wa jiji, kuanzia mwanadamu hata mnyama wa kufugwa hata wote waliopatikana.+ Pia wakayateketeza kwa moto majiji yote waliyoyaona.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki