Waamuzi 20:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Basi wakageuka, wakakimbia kuelekea nyikani mpaka kwenye mwamba wa Rimoni.+ Nao wakaokota watu elfu tano kati yao katika njia kuu,+ na kuendelea kuwafuatilia kwa ukaribu mpaka Gidomu, basi wakawapiga watu elfu mbili kati yao. Waamuzi 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na kusanyiko lote likatuma watu na kusema na wana wa Benyamini waliokuwa juu ya mwamba wa Rimoni+ na kuwatakia amani.
45 Basi wakageuka, wakakimbia kuelekea nyikani mpaka kwenye mwamba wa Rimoni.+ Nao wakaokota watu elfu tano kati yao katika njia kuu,+ na kuendelea kuwafuatilia kwa ukaribu mpaka Gidomu, basi wakawapiga watu elfu mbili kati yao.
13 Na kusanyiko lote likatuma watu na kusema na wana wa Benyamini waliokuwa juu ya mwamba wa Rimoni+ na kuwatakia amani.