15 Ndipo Yehova akaanza kumvuruga+ Sisera na magari yake yote ya vita na kambi yote kwa makali ya upanga mbele ya Baraka. Mwishowe Sisera akashuka kutoka garini, akaanza kukimbia kwa miguu.
33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+