Mambo ya Walawi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika watano kati yenu watawafukuza mia, na mia kati yenu watawafukuza elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.+ Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwatendee kama Midiani,+ kama Sisera,+Kama Yabini+ kwenye bonde la mto la Kishoni.+
8 Na hakika watano kati yenu watawafukuza mia, na mia kati yenu watawafukuza elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.+