2 Mambo ya Nyakati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye, mkono wa nyama uko pamoja naye,+ lakini sisi, Yehova Mungu wetu yuko pamoja nasi+ ili kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Na watu wakaanza kujitegemeza juu ya maneno ya Hezekia mfalme wa Yuda.+ Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+
8 Yeye, mkono wa nyama uko pamoja naye,+ lakini sisi, Yehova Mungu wetu yuko pamoja nasi+ ili kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Na watu wakaanza kujitegemeza juu ya maneno ya Hezekia mfalme wa Yuda.+
16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+