Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu+ kwa ndugu za mama yake, akaanza kusema nao na kusema na familia yote ya nyumba ya baba ya mama yake, akisema:

  • 2 Samweli 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ni nani aliyempiga Abimeleki+ mwana wa Yerubeshethi?+ Je, hakuwa mwanamke aliyemtupia jiwe la juu la kusagia+ kutoka juu ya ukuta, hivi kwamba akafa kule Thebesi?+ Kwa nini mlienda karibu sana na ukuta?’ ndipo nawe useme, ‘Mtumishi wako Uria Mhiti alikufa pia.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki