7 Na watu wazembe,+ watu wasiofaa kitu,+ wakaendelea kujikusanya kando yake. Mwishowe wakawa na nguvu kuliko Rehoboamu mwana wa Sulemani, wakati Rehoboamu+ alipokuwa mchanga na mwenye moyo mwoga,+ naye hakuweza kusimama kupigana nao.
5 Lakini Wayahudi wakawa na wivu,+ wakashirikiana na wanaume fulani waovu kati ya wazururaji wa sokoni na kufanyiza kikundi chenye ghasia ili kuzusha fujo jijini.+ Nao wakaishambulia nyumba ya Yasoni+ na kuanza kujaribu kuwaleta mbele ya watu wenye kufanya ghasia.