Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na yule suria wake aliyekuwa katika Shekemu, yeye pia akamzalia mwana. Basi akamwita jina lake Abimeleki.+

  • Waamuzi 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu+ kwa ndugu za mama yake, akaanza kusema nao na kusema na familia yote ya nyumba ya baba ya mama yake, akisema:

  • Waamuzi 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baadaye, watu wote wenye mashamba wa Shekemu na nyumba yote ya Milo+ wakakusanyika pamoja wakaenda, wakamfanya Abimeleki atawale akiwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa,+ nguzo iliyokuwa katika Shekemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki