17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+
2 Na mke wa Gileadi akaendelea kumzalia wana. Wakati wana wa mke yule walipokuwa wakubwa, wakamfukuza Yeftha na kumwambia: “Usiwe na urithi wowote katika nyumba ya baba yetu,+ kwa sababu wewe ni mwana wa mwanamke mwingine.”