Mwanzo 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+ Yoshua 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha kura+ ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya wana wa Zabuloni+ kulingana na familia zao, na mpaka wa urithi wao ulifika hadi Saridi. Waamuzi 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asili yao ilikuwa katika Efraimu katika nchi tambarare ya chini,+Pamoja nawe, Ee Benyamini, kati ya watu wako.Kutoka Makiri+ viongozi walishuka,Na kutoka Zabuloni wale wanaotumia vifaa vya mwandishi.+
20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+
10 Kisha kura+ ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya wana wa Zabuloni+ kulingana na familia zao, na mpaka wa urithi wao ulifika hadi Saridi.
14 Asili yao ilikuwa katika Efraimu katika nchi tambarare ya chini,+Pamoja nawe, Ee Benyamini, kati ya watu wako.Kutoka Makiri+ viongozi walishuka,Na kutoka Zabuloni wale wanaotumia vifaa vya mwandishi.+