Waamuzi 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha Abdoni mwana wa Hileli Mpirathoni akafa, akazikwa Pirathoni katika nchi ya Efraimu katika mlima wa Mwamaleki.+ 2 Samweli 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Benaya+ Mpirathoni, Hidai wa mabonde ya mto ya Gaashi,+ 1 Mambo ya Nyakati 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wa kumi na moja kwa ajili ya mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya+ Mpirathoni wa wana wa Efraimu,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.
15 Kisha Abdoni mwana wa Hileli Mpirathoni akafa, akazikwa Pirathoni katika nchi ya Efraimu katika mlima wa Mwamaleki.+
14 Wa kumi na moja kwa ajili ya mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya+ Mpirathoni wa wana wa Efraimu,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.