Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Timna+ akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.

  • Kutoka 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+

  • Hesabu 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”

  • 1 Samweli 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki